Vedastus Mathayo Manyinyi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Vedastus Mathayo Manyinyi (amezaliwa tar. - ) ni mbunge wa jimbo la Musoma Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM. Alikuwa mbunge mara ya kwanza miaka 2005-2010 alirudi tena mwaka 2015[2] Amehitimu katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Tazama pia

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads