Vicensia Shule
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vicensia Shule (alizaliwa 14 Machi 1978) ni mhadhiri katika kitivo cha Sanaa ya Ubunifu katika chuo kikuu cha Dar es Salaam[1] pia ni mbunifu wa kutumia vitu ambavyo vilishatumika mara ya kwanza, msomi wa ngazi ya juu, mwanaharakati wa haki na jinsia na mwandaaji wa filamu.[2]
Remove ads
Elimu
- 2002-2004: Shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
- 2002: Tuzo ya mwanafunzi bora katika mitihani ya mwisho ya shahada ya kwanza katika Kitivo cha Sanaa katika UDSM.
- 2002-2004: Shahada ya udaktari katika Fani ya Sanaa ya Maonyesho kutoka chuo kikuu cha Johannes Gutenberg Universität Mainz, Ujerumani
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads