Victoria Beckham
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Victoria Caroline Beckham (amezaliwa 17 Aprili 1974) ni mwimbaji na msanifu mavazi kutoka nchini Uingereza. Anafahamika sana kwa kuwa mmoja kati ya wanakundi la wasichana waimbao muziki wa pop la Spice Girls. Pia, anafahamika zaidi kwa vile kaolewa na mchezaji mashuhuri wa soka ya kulipwa huko Uingereza - David Beckham.
Jina lake la utani ni Posh Spice, kwa sababu anapenda kuvaa nguo zinazompendezesha.
Remove ads
Viungo vya nje
- Victoria Beckham's official site Ilihifadhiwa 30 Desemba 2008 kwenye Wayback Machine.
- Victoria Beckham Collection website Ilihifadhiwa 28 Februari 2009 kwenye Wayback Machine.
- Victoria Beckham at the Internet Movie Database
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki wa Uingereza bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Victoria Beckham kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads