Kisiwa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kisiwa
Remove ads

Kisiwa ni eneo la nchi kavu kati ya bahari, ziwa au mto linalozungukwa na maji wakati wote. Ukubwa wake hautoshi kukifanya kiitwe "bara".

Thumb
Kisiwa kidogo au mwamba tu?

Visiwa vilivyo karibu kama kundi mara nyingi huitwa "funguvisiwa".

Tofauti kati ya kisiwa kikubwa na bara dogo limeamuliwa kati ya

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads