Vitus Mtakatifu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Vitus Mtakatifu
Remove ads

Vitus Mtakatifu alikuwa mtoto Mkristo (labda kutoka Sicilia, kisiwa kikubwa cha Italia) aliyefia dini yake wakati wa dhuluma za makaisari wa Dola la Roma Diocletian na Maximian mwaka 303, akiwa na umri wa miaka 13 hivi[1].

Thumb
Mt. Vitus katika Nuremberg Chronicle, 1493.
Thumb
Kifodini cha Wat. Vitus, Modestus na Kresensya.

Kwa sababu hiyo tangu kale Vitus peke yake, baadaye pamoja na walezi wake Modesto na Kresensya[2][3], anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[4] ambayo kwa Waorthodoksi ni tarehe 28 Juni ya kalenda ya kimataifa.

Remove ads

Picha

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads