Wabissa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wabissa (au Wabisa (umoja), Wabisan, Wabissanno (wingi)) ni kabila la kundi la Wamandé kutoka katikati-mashariki mwa Burkina Faso, kaskazini-mashariki mwa Ghana na ncha ya kaskazini kabisa ya Togo.

Lugha yao, Kibisa ni jamii ya lugha za Kimande ambayo inahusiana, lakini sio sawa ,na kundi la lugha katika eneo la Ufalme wa zamani wa Borgu kaskazini-mashariki mwa Benin na kaskazini-magharibi mwa Nigeria, ikijumuisha Kibusa, Kiboko, na Kikyenga.

Jina jingine mbadala kwa Wabissa ni Wabusansi au Wabusanga, ambalo linatumika na watu wa kabila la Wamosi.

Remove ads

Baadhi ya makabila na majina maarufu ya watu wa kabila la Bissa

Maelezo zaidi Ukoo, Majina ya Utambulisho ...
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads