Wabungu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wabungu ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Songwe, Wilaya ya Songwe.
Wengi wao wanapatikana katika mwambao wa Ziwa Rukwa, na shughuli zao kubwa za kiuchumi ni uvuvi.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads