Wainjili

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wainjili
Remove ads

Wainjili ni waandishi wa vitabu vya Injili vinavyoleta matendo na maneno ya Yesu Kristo.

Thumb
Simba, mfano wa Mwinjili Marko
Thumb
Mtu, mfano wa Mwinjili Mathayo

Wakristo wanakubali kama Neno la Mungu vitabu vinne tu vya namna hiyo, yaani vile vilivyoandikwa wakati wa Mitume wa Yesu (karne ya 1 B.K.).

Waandishi wa vitabu hivyo wanatajwa kama Mwinjili Marko, Mwinjili Mathayo, Mwinjili Luka na Mwinjili Yohane.

Thumb
Ng'ombe, mfano wa Mwinjili Luka
Thumb
Tai, mfano wa Mwinjili Yohane

Ushuhuda wa kwanza kuwataja pamoja hao wanne ni ule wa Irenei wa Lyons (karne ya 2).

Tangu zamani hao wanne walihusianishwa na viumbehai wanne waliotajwa katika Kitabu cha Ezekieli, halafu katika Kitabu cha Ufunuo: simba, ng'ombe, mtu, tai.

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wainjili kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads