Wallonia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wallonia
Remove ads

Wallonia (Kifaransa: Wallonie, Kiwallonia : Waloneye) ni eneo la kusini la Ubelgiji, likipakana na Ufaransa kusini, Luxembourg kusini-mashariki, Ujerumani mashariki, na Flanders kaskazini. Ina idadi ya watu takriban milioni 3.6[1], ikiwa ndio eneo lenye idadi ndogo ya watu Ubelgiji. Jiji lake kubwa zaidi ni Liège, wakati mji mkuu wa utawala ni Namur. Wallonia imegawanyika katika majimbo 5—Hainaut, Walloon ,Brabant, Namur, Liège, na Luxembourg. Inajulikana miji yake ya kihistoria kama Mons na Charleroi.

Thumb
Moja ya sehemu ya mji ndani ya jimbo la Wallonia
Thumb
Bendera ya Wallonia
Thumb
Eneo la Wallonia katika Ubelgiji
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads