Baharia

Mtu anaefanya kazi kwenye meli,mashua au jahazi From Wikipedia, the free encyclopedia

Baharia
Remove ads

Baharia (pia mwanamaji. hasa kwa kutaja mabaharia wa kijeshi) ni mtu anayefanya kazi kwenye chombo cha usafiri majini, hasa baharini kama vile boti, mashua, jahazi au meli. Mkuu wao ni nahodha au kapteni wa chombo.

Thumb
Mabaharia wakiangalia kung'oa kwa nanga wakati wa kutoka bandarini
Thumb
Mabaharia Wajerumani kwenye kazi ya usafi wa sitaha ya jahazi mnamo 1968.

Kuna kazi nyingi tofauti zinazotekelezwa na mabaharia. Katika mashua au jahazi ndogo mabaharia wote wanafanya kazi pamoja ilhali kazi sahili na ngumu zaidi hupewa kwa wale walio vijana. Kadri jinsi meli ni kubwa zaidi shughuli zinagawiwa baina ya mabaharia wenye ufundi fulani.

Meli kubwa unaweza kuwa na idara tofauti kama vile

Hapo kapteni atakuwa na kundi la maafisa wake wanaosimamia idara mbalimbali baada ya kupitia mafunzo na mitihani maalumu kwa ajili ya shughuli zao.

Remove ads

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads