Waorthodoksi wa Mashariki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Waorthodoksi wa Mashariki
Remove ads

Waorthodoksi wa Mashariki ni jina linalotumika pengine kuhusu Wakristo wa Makanisa ya Mashariki ambayo katika karne ya 5 yalitengana na Wakatoliki na Waorthodoksi kwa kutokubali uamuzi wa mojawapo kati ya Mitaguso ya kiekumeni, hasa ile ya Efeso (431) na Kalsedonia (451).

Thumb
Asilimia ya Waorthodoksi wa Mashariki nchi kwa nchi:      zaidi ya 75%      50–75%      20–50%      5–20%      1–5%      chini ya 1%, lakini wenye haki ya kujitegemea

Makanisa hayo ni ya kitaifa, kama vile:

Jumla ya waumini ni milioni 84 hivi, wengi wao wakiwa Waethiopia.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waorthodoksi wa Mashariki kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads