Wasizaki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wasizaki ni kabila la watu kutoka kaskazini-magharibi mwa nchi ya Tanzania, karibu na Ziwa Viktoria.

Mwaka 1987 idadi ya Wasizaki ilikadiriwa kuwa 82,000 [1].

Lugha yao ni Kisizaki.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads