Wengu

Bandama From Wikipedia, the free encyclopedia

Wengu
Remove ads

Wengu (pia "bandama "; kwa Kiingereza spleen, kutoka Kigiriki: σπλήν[1]) ni kiungo cha mwili chenye nafasi katika mzunguko wa damu. Iko ndani ya fumbatio ya mwili karibu na tumbo.

Thumb
Wengu la binadamu lililotolewa katika maiti.

Wengu ya mtu mzima huwa na ukubwa wa takriban sentimita 11 × 7 × 4 na uzito wa gramu 150-200.

Kazi yake ni kuongeza idadi ya seli nyeupe za damu halafu kuondoa seli nyekundu za damu zilizozeeka.

Katika watoto ina pia jukumu la kutengeneza seli nyekundu za damu. Watu wazima kwa kawaida wanaweza kuishi bila wengu.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads