Wilaya ya Mlimba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Mlimba
Remove ads

Wilaya ya Mlimba ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500.

Thumb
Mahali pa wilaya ya Kilombero (kijani cheusi) katika mkoa wa Morogoro (kijani) na Tanzania kwa jumla (kabla ya kugawa wilaya hiyo kuwa mbili).
Thumb
Kilimo katika Wilaya ya Mlimba.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 407,880.[1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 292,536 tu, kutokana na uanzishwaji wa wilaya ya Ifakara Mjini, yalipokuwa makao makuu ya wilaya ya Kilombero [2].

Remove ads

Marejeo

Viungo ya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads