Wilaya ya Mlimba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Mlimba ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500.


Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 407,880.[1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 292,536 tu, kutokana na uanzishwaji wa wilaya ya Ifakara Mjini, yalipokuwa makao makuu ya wilaya ya Kilombero [2].
Remove ads
Marejeo
Viungo ya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads