Wilaya ya Njombe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Njombe ni wilaya mojawapo kati ya 6 za Mkoa wa Njombe.

Maeneo ya wilaya ya Njombe ya awali yaligawiwa kwa wilaya tatu:
- Mji wa Njombe
- Wilaya ya Njombe
- Wilaya ya Wanging'ombe
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 420,348 [1].
Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi waliobaki katika eneo la sasa walihesabiwa 109,311 [2].
Wenyeji asilia wa Njombe ni hasa Wabena.
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads