Wilaya ya Njombe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Njombe
Remove ads

Wilaya ya Njombe ni wilaya mojawapo kati ya 6 za Mkoa wa Njombe.

Thumb
Mahali pa Wilaya ya Njombe (kijani cheusi) katika mkoa wa Iringa kabla ya umegaji wa mkoa na wa wilaya.

Maeneo ya wilaya ya Njombe ya awali yaligawiwa kwa wilaya tatu:

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 420,348 [1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi waliobaki katika eneo la sasa walihesabiwa 109,311 [2].

Wenyeji asilia wa Njombe ni hasa Wabena.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads