Winnipeg

From Wikipedia, the free encyclopedia

Winnipeg
Remove ads

Winnipeg ni mji mkuu na mji mkubwa katika mkoa la Manitoba. Asilimia 60 ya wakazi wa Manitoba wanaishi katika Winnipeg. Kunako mwaka wa 2006, idadi ya wakazi ilikuwa 633,451. Eneo lake ni 464.01 km². Mji upo m 238 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Sehemu za Mji wa Winnipeg


Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Jina la Winnipeg ni ya Kikree maana yake ni maji matibwitibwi. Jina inahusu Ziwa Winnipeg

Mji ulianzishwa mwaka 1738

Thumb
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Winnipeg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads