Wizara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wizara ni sehemu ya serikali inayoshughulikia sehemu maalumu ya utawala wa nchi ikiongozwa na waziri. Kila nchi ina idadi na majina tofauti ya wizara zake.
Mifano
Kenya
Wizara huwa na idara tofauti ambazo huongozwa na katibu mkuu. Wizara ya Ulinzi na ya Mambo ya Ndani na Uratibu wa Kitaifa ziko chini ya Ofisi ya Rais wa Kenya[1].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads