Yairo (Injili)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yairo (Injili)
Remove ads

Yairo ni maarufu kama baba wa msichana aliyefufuliwa na Yesu Kristo kama inavyosimuliwa na Injili ndugu (Mk 5:21–43; Math 9:18–26; Lk 8:40–56).

Thumb
Ufufuo wa Binti Yairo kadiri ya Paolo Veronese, 1546.

Kiongozi wa sinagogi fulani, alikuwa amemkimbilia kwa imani Yesu kwa ajili ya binti yake.

Walipofika nyumbani walikuta msiba umeshaanza, lakini Yesu alifukuza waombolezaji, akamfufua mtoto huyo wa miaka 12 mbele ya Yairo mwenyewe, mke wake, Petro, Yakobo Mkubwa na Yohane tu.

Hatimaye aliagiza binti apewe chakula.

Remove ads

Tazama pia

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yairo (Injili) kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads