Yairo (Injili)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yairo ni maarufu kama baba wa msichana aliyefufuliwa na Yesu Kristo kama inavyosimuliwa na Injili ndugu (Mk 5:21–43; Math 9:18–26; Lk 8:40–56).

Kiongozi wa sinagogi fulani, alikuwa amemkimbilia kwa imani Yesu kwa ajili ya binti yake.
Walipofika nyumbani walikuta msiba umeshaanza, lakini Yesu alifukuza waombolezaji, akamfufua mtoto huyo wa miaka 12 mbele ya Yairo mwenyewe, mke wake, Petro, Yakobo Mkubwa na Yohane tu.
Remove ads
Tazama pia
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Yairo (Injili) kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads