Yogi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yogi
Remove ads

Yogi (wakati mwingine huitwa jogi) ni mtu anayefanya mazoezi ya yoga.

Thumb
Sanamu ya Yogini ya karne ya 10 kutoka Tamil Nadu, India. Ameketi katika asana, na macho yake yamefungwa katika hali ya kutafakari.
Thumb
Sanamu ya shaba ya yogi akiwa anatafakari.

Katika lugha ya Kisanskrit, neno yoga (kutokana na mizizi yuj) linamaanisha "kuongeza", "kuunga", "kujumuisha" kwa maana yake halisi ya kawaida.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yogi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads