Yoshinori Ohsumi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yoshinori Ohsumi
Remove ads

Yoshinori Ohsumi (amezaliwa 9 Februari, 1945) ni mwanakemia kutoka nchi ya Japani. Anajulikana hasa kwa utafiti wake katika mchakato wa autofagia ambako mwili unavunja seli zisizotakiwa au zisizohitajika tena na kutumia molekuli zake kwa kujenga seli mpya.

Thumb
Thumb
Yoshinori Ohsumi

Mwaka wa 2016 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba[1].

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads