Yves Congar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yves Marie-Joseph Congar O.P. (13 Aprili 1904 – 22 Juni 1995) alikuwa mtawa wa Kifaransa wa Shirika la Wadominiko, padri, na mwana teolojia. Anajulikana zaidi kwa ushawishi wake katika Mtaguso wa Pili wa Vatikani na kwa kufufua hamasa ya kitheolojia kuhusu Roho Mtakatifu katika maisha ya waumini na Kanisa. Aliteuliwa kuwa kardinali wa Kanisa Katoliki mwaka 1994.[1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads