Zahanati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zahanati
Remove ads

Zahanati (kutoka neno la Kiarabu; pia dispensari kutoka neno la Kiingereza dispensary lenye asili ya Kilatini dispensaria yaani mahali pa ugawaji wa dawa[1]) ni mahali ambapo huduma za tiba hutolewa kwa magonjwa yasiyo makubwa, lakini pia chanjo, uzazi wa mpango n.k. Vile vile huduma nyingine zitolewazo kwenye Zahanati ni pamoja na Huduma ya kwanza.

Thumb
Zahanati huko Anjozorobe, Madagascar.

Kwa upande wa mazingira zahanati inaweza kupatikana shuleni, viwandani na hata kwenye taasisi mbalimbali zenye uhitaji wa huduma hiyo pindi tu ihitajikapo.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads