Kapsowar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kapsowar ni mji wa Kenya magharibi katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki. Ni kata ya kaunti ya Elgeyo-Marakwet, eneo bunge la Marakwet Magharibi[1].
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...
Kapsowar | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Elgeyo-Marakwet |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 60,763 |
Funga