Victoria Beckham
From Wikipedia, the free encyclopedia
Victoria Caroline Beckham (amezaliwa 17 Aprili 1974) ni mwimbaji na msanifu mavazi kutoka nchini Uingereza. Anafahamika sana kwa kuwa mmoja kati ya wanakundi la wasichana waimbao muziki wa pop la Spice Girls. Pia, anafahamika zaidi kwa vile kaolewa na mchezaji mashuhuri wa soka ya kulipwa huko Uingereza - David Beckham.
Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Victoria Beckham | |
---|---|
| |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Victoria Caroline Adams |
Amezaliwa | 17 Aprili 1974 (1974-04-17) (umri 50) Goffs Oak, Hertfordshire, Uingereza |
Aina ya muziki | Pop |
Kazi yake | Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, msanifu wa mavazi, mfanyabiashara |
Miaka ya kazi | 1994-mpaka sasa |
Studio | Virgin, 19, Telstar |
Ame/Wameshirikiana na | Spice Girls |
Funga
Jina lake la utani ni Posh Spice, kwa sababu anapenda kuvaa nguo zinazompendezesha.