From Wikipedia, the free encyclopedia
Aquae (Byzacena) ilikuwa dayosisi ya zamani ya Kanisa Katoliki ambayo baada ya kufa ilibaki chini ya uangalizi wa kiaskofu katika jimbo la Byzacena (jimbo la zamani la dola la Roma).[1]
Dayosisi hii pia ilikuwa mji katika dola la Roma ambapo kwa sasa eneo hilo linasadikika kuwa El Hamma kwa Tunisia ya sasa.[2]
Mpaka sasa dayosisi hii inaendeshwa chini ya uangalizi wa kiaskofu [3][4] na askofu wa sasa ni Nicolai Dubinin, askofu msaidizi wa Jimbo kuu Katoliki la Moscow[5]
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.