![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/25/DJ_Khaled_2012_%2528cropped%2529.jpg/640px-DJ_Khaled_2012_%2528cropped%2529.jpg&w=640&q=50)
DJ Khaled
From Wikipedia, the free encyclopedia
Daverneius Jaimes (DJ) Khaled[1] (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama DJ Khaled[1]; amezaliwa New Orleans, Louisiana, 26 Novemba 1975) ni Mpalestina-Mmrekani wa kwanza kusikika kushirikiana na msanii Lil Wayne na Birdman kutoka katika single ya Way Of Life.[1] Huyu bwana ni DJ, mtayarishaji wa muziki na ni mtangazaji wa redio katika kituo cha redio ya WEDR.[2] Pia ni mwanachama wa kikundi cha muziki wa hip hop-Terror Squad, na amejisajili na Terror Squad Entertainment na Koch Records.[3]
Ukweli wa haraka DJ Khaled ...
DJ Khaled | |
---|---|
| |
Jina Kamili | {{{jina kamili}}} |
Jina la kisanii | DJ Khaled |
Nchi | Marekani |
Alizaliwa | 1975 |
Aina ya muziki | Hip hop |
Kazi yake | DJ Mtayarishaji wa muziki Mtangazaji wa redio |
Miaka ya kazi | 2006 - hadi leo |
Kampuni | Koch Terror Squad, We The Best Music, Def Jam |
Funga