From Wikipedia, the free encyclopedia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dondoo | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Dondoo-nyika (Raphicerus campestris) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi 3:
| ||||||||||||||||
Dondoo, dondoro au isha ni wanyamapori wadogo wa jenasi Raphicerus katika familia Bovidae wenye masikio makubwa. Wana rangi ya mchanga inayoelekea nyekundu na mara nyingi madoa au milima nyeupe. Madume wana pembe fupi na laini. Wanatokea Afrika ya Kusini na ya Mashariki katika maeneo mbalimbali kutoka ukanda wa jangwa mpaka vilima vyenye msitu wazi. Wanyama hawa hula majani, vitawi, mizizi na viazi.
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dondoo kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.