From Wikipedia, the free encyclopedia
Ghorofa ni jengo la ngazi ambalo linaweza kutumiwa na watu (kwa ajili ya maisha, kazi, ghala, burudani, n.k.).
Sakafu inayogusana na ardhi huitwa "ghorofa la chini" katika maeneo mengi.[1]
Majengo ya kawaida huwa sakafu moja au mbili tu. Jengo refu zaidi katika dunia, Burj Khalifa, lina sakafu 163.
Urefu wa kila ghorofa hulingana na urefu wa dari za vyumba pamoja na unene wa sakafu kati ya kila dirisha. Maghorofa ndani ya jengo hayana haja ya kuwa na urefu mmoja.
Kuna maegesho ya magari yaliyo ya ghorofa, hujulikana pia kama gereji la kuegeshea, na hata mashamba ya Mungu ya maghorofa.
Nambari ya ghorofa huhesabiwa kutumia mfumo wa kuhesabu ghorofa.
Katika Kenya, na maeneo yanayotumia mfumo wa Uropa, lebo ya kitufe cha sakafu ya chini huwa 'G'. Sakafu zinazofuata huhesabu nambari 1 na kuendelea. Sakafu zilizo chini ya ardhi huhesabu kutoka B1 kuendelea unavyoshuka.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.