From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiashiria cha Maendeleo ya Watu (Kiingereza: Human Development Index; kifupi: HDI) ni namba ya takwimu ambayo inaashiria ubora wa elimu, matarajio ya muda wa kuishi, na pato kwa kila mtu na hutumika ili kuweka nchi katika safu nne za maendeleo. Nchi hufanikisha kiashiria bora ikiwa na elimu bora, muda mrefu wa kuishi, na pato kubwa la wastani.
Kiliendelezwa na mchumi Mpakistani Mahbub ul-Haq kikatumiwa sana na Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ili kupima maendeleo.
Safu za maendeleo ni duni (<0.550), wastani (0.550-0.699), juu (0.700-0.799), na juu sana (>0.800).[1]
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.