Mkarakara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mikarakara au mipesheni ni mimea mitambazi ya jenasi Passiflora katika familia Passifloraceae. Matunda yake huitwa makarakara au mapesheni. Kuna takribani spishi 550.
Makala haina vyanzo vya kutosha
Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote.
|
Mkarakara (Passiflora spp.) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mkarakara-jeusi | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi >500; 4 zinakuzwa katika Afrika ya Mashariki:
|
Asili ya mimea hiyo ni Amerika, ya Kati na ya Kusini hasa. Siku hizi spishi kadhaa hukuzwa sana katika ukanda wa tropiki, na katika Afrika ya Mashariki mkarakara-jeusi na mkarakara-tamu na mkarakara-njano inajulikana sana tangu mwanzo mwa karne ya 21.