Mkusanyo wa Sheria za Kanisa (la Kilatini) ni kitabu ambamo zimekusanywa kwa mpango sheria kuu za Kanisa Katoliki zinazohusu waamini wake wa mapokeo ya Kilatini. Kwa lugha asili ya Kilatini unaitwa Codex Iuris Canonici(kifupi: CIC).

Historia

Mkusanyo unaotumika kuanzia Majilio ya mwaka 1983 umeshika nafasi wa ule wa kwanza, uliotolewa mwaka 1917 kwa juhudi za Papa Pius X na halafu Papa Benedikto XV).

Urekebisho wake uliagizwa na Papa Yohane XXIII tarehe 25 Januari 1959 ukashughulikiwa na Papa Paulo VI na Papa Yohane Paulo II kufuatana na Mtaguso wa pili wa Vatikano.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkusanyo wa Sheria za Kanisa kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.