1983
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 1983 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
 
◄ |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
 
◄◄ |
◄ |
1979 |
1980 |
1981 |
1982 |
1983
| 1984
| 1985
| 1986
| 1987
| ►
| ►►
Matukio
- 19 Septemba - Nchi ya Saint Kitts na Nevis inapata uhuru kutoka Uingereza.
 
Waliozaliwa
| Kalenda ya Gregori | 2025  MMXXV  | 
| Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 | 
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 | 
| Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 | 
| Kalenda ya Kiarmenia | 1474  ԹՎ ՌՆՀԴ  | 
| Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 | 
| Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 | 
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2080 – 2081 | 
| - Shaka Samvat | 1947 – 1948 | 
| - Kali Yuga | 5126 – 5127 | 
| Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722  甲辰 – 乙巳  | 
- 26 Januari - Gorilla Zoe, mwanamuziki kutoka Marekani
 - 19 Februari - Miriam Odemba, mwanamitindo kutoka Tanzania
 - 10 Machi - Lashinda Demus, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Marekani
 - 22 Mei - Cynthia Muvirimi, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
 - 20 Juni - Sylvia Bahame, mrembo wa Tanzania, mwaka wa 2003
 - 24 Juni - John Lloyd Cruz, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
 - 27 Julai - Blandina Changula, mwigizaji filamu nchini Tanzania
 - 20 Agosti - Andrew Garfield, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
 - 9 Septemba - Kristine Hermosa, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
 - 21 Septemba - Anna Favella, mwigizaji wa filamu kutoka Italia
 - 14 Novemba - Lil Boosie, mwanamuziki kutoka Marekani
 
Remove ads
Waliofariki
- 25 Februari - Tennessee Williams, mwandishi kutoka Marekani
 - 9 Machi - Ulf von Euler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
 - 17 Machi - Haldan Hartline, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
 - 22 Mei - Albert Claude, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1974
 - 25 Mei - Mfalme Idris I wa Libya
 - 10 Septemba - Felix Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
 - 17 Oktoba - Raymond Aaron, mwanafalsafa wa Ufaransa
 - 1 Novemba - Jan Matejko, mchoraji kutoka Polandi
 
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
