![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/cc/Bundesarchiv_Bild_105-DOA0039%252C_Deutsch-Ostafrika%252C_Iringa_Wahehe.jpg/640px-Bundesarchiv_Bild_105-DOA0039%252C_Deutsch-Ostafrika%252C_Iringa_Wahehe.jpg&w=640&q=50)
Mkwawa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkwawa au kwa jina refu Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855 – 19 Julai 1898) alikuwa mtemi na kiongozi mkuu wa kabila la Wahehe katika Tanzania ya leo wakati wa upanuzi wa ukoloni wa Ujerumani mwishoni mwa karne ya 19.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/cc/Bundesarchiv_Bild_105-DOA0039%2C_Deutsch-Ostafrika%2C_Iringa_Wahehe.jpg/640px-Bundesarchiv_Bild_105-DOA0039%2C_Deutsch-Ostafrika%2C_Iringa_Wahehe.jpg)
Ukweli wa haraka Uendo, Ukoloni ...
Funga
Mkwawa ni maarufu hasa kwa kuongoza vita vya Wahehe dhidi ya Wajerumani.