Mswaki (mti)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mswaki au msuake ni majina ya miti mbalimbali wa familia Salvadoraceae, lakini spishi kuu iitwayo majina haya ni Salvadora persica. Spishi nyingine ni Dobera glabra na D. loranthifolia zinazoitwa msega na mkupa pia. Miti hii inatokea maeneo makavu ya Afrika na Mashariki ya Kati na hadi Uhindi. Vitawi vya miti hii hutumika kama brashi ya meno na huitwa mswaki pia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mswaki (Salvadora persica) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mswaki katika Pakistani | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga