Paulo wa Tebe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Paulo wa Tebe (230 hivi - Jangwa la Thebe, 5 Januari 342) anakumbukwa kama mkaapweke wa Kikristo wa kwanza nchini Misri.
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu zamani sana kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 10 Januari[1] au 15 Januari[2].