From Wikipedia, the free encyclopedia
Ugonjwa wa Corona ulifika Kenya mwezi Machi 2020. Watu wa kwanza waligunduliwa kwenye kaunti za Nairobi na Kajiado.
Wizara wa Afya ya Kenya imeandika habari ya virusii ya Corona.
Ushauri huu inafanana ushauri wa Shirika za Afya Duniani (WHO)[2]. Kusoma tafsiri ya ushauri wa tabia nzuri wa Shirika za Afya Duniani kwa Kiswahili angalia ukurasa wa ushauri wa ugonjwa wa Corona ya Shirika la Afya Duniani.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.