From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Gabon unategemea hasa wahamiaji kutoka nchi nyingineː unakadiriwa kuwa asilimia 12 ya idadi ya wakazi wote wa Gabon ni waumini wa Kiislamu, ambao kati yao asilimia 80 hadi 90 ni wageni.
Uislamu kwa nchi |
Uislamu, Kanisa Katoliki, na madhehebu ya Uprotestanti yanaendesha shule za msingi na sekondari nchini Gabon. Shule hizi zinahitaji kujisajili kwa Wizara ya Elimu, ambapo hutozwa ili zifikie viwango vinavyohitajika kutoa huduma kama shule za umma. Serikali haichangii wala kutoa ruzuku kwa shule za binafsi, haijalishi ni ya kilimwengu au ya kidini.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.