1066
mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 1066 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 10 |
Karne ya 11
| Karne ya 12
| ►
◄ |
Miaka ya 1030 |
Miaka ya 1040 |
Miaka ya 1050 |
Miaka ya 1060
| Miaka ya 1070
| Miaka ya 1080
| Miaka ya 1090
| ►
◄◄ |
◄ |
1062 |
1063 |
1064 |
1065 |
1066
| 1067
| 1068
| 1069
| 1070
| ►
| ►►
Matukio

Ulaya - Uingereza:
- 25 Septemba - Mapigano kwa daraja la Stamford (Uingereza): Mfalme Harold wa Uingereza anazuia jaribio la Waviking Wanorway la kuvamia Uingereza. Jeshi la Uingereza laelekea mara moja kwa mbio kusini dhidi ya Wanormandy.
- 14 Oktoba - Mapigano ya Hastings; jeshi lililochoka la Uingereza linashindwa na Wanormandy chini ya William Mshindi. Uingereza unatekwa na Wanormandy.
- 25 Desemba - William Mshindi wa Normandy anapokea cheo cha mfalme wa Uingereza.
Afrika:
Remove ads
Waliozaliwa
| Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
| - Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
| - Kali Yuga | 5126 – 5127 |
| Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
Remove ads
Waliofariki
- 5 Januari - Edward Muungamaji (Mfalme wa Uingereza, na Mtakatifu)
- 25 Septemba - Mfalme Harald III wa Norway kwenye mapigano kwa daraja la Stamford
- 14 Oktoba - Mfalme Harold wa Uingereza kwenye mapigano ya Hastings
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
