Edward Muungamaji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Edward Muungamaji
Remove ads

Edward Muungamadini (kwa Kiingereza: Edward the Confessor; takriban 10035 Januari 1066) alikuwa mfalme wa Uingereza kuanzia mwaka 1042 hadi kifo chake.

Thumb
Mfalme Edward katika kiti cha enzi.

Kama mfalme hakuwa na nguvu ya kutawala lakini maisha yake ya Kikristo yalikuwa mfano mwema kabisa. Alipendwa sana na raia zake kwa upendo aliokuwa nao, alidumisha amani nchini akastawisha ushirika na Kanisa la Roma[1].

Mwaka 1161 alitangazwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake[2] au 13 Oktoba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads