1109 KK
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 1109 KK (kabla ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 13 KK |
Karne ya 12 KK |
Karne ya 11 KK |
►
Miaka ya 1090 KK |
Miaka ya 1080 KK |
►
1109 KK |
1108 KK |
1107 KK |
1106 KK |
► |
►►
Matukio
Mfalme Tiglath-Pileser I wa Ashuru (Assyria) aliagiza kuandikwa habari za ushindi wake dhidi ya mataifa ya majirani katika hati iliyowekwa katika hekalu ya mji wa Ashuru kwa mwandiko wa kikabari tarehe 29 ya mwezi wa Kuzallu wakati wa Kuhani Mkuu Ina-iliya-hallik ambayo ilikuwa mwaka 1109 KK [1][2]
Waliozaliwa
Waliofariki
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads