97
mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 97 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 1 KK |
Karne ya 1
| Karne ya 2
| ►
◄ |
Miaka ya 60 |
Miaka ya 70 |
Miaka ya 80 |
Miaka ya 90
| Miaka ya 100
| Miaka ya 110
| Miaka ya 120
| ►
◄◄ |
◄ |
93 |
94 |
95 |
96 |
97
| 98
| 99
| 100
| 101
| ►
| ►►
Matukio
- 28 Oktoba - Kaisari Nerva wa Roma amteua Traiano kama mfuasi wake kwa kusudi la kuzuia uasi wa kijeshi.
- Koloni ya Curculum yaanzishwa na Waroma wa Kale huko Numidia - leo ni mji wa Djemila katika Aljeria.
- Halmashauri ya sanhedrini ya Jamnia pamoja na cheo cha Nasi yatambuliwa na Kaisari Nerva kama mwakilishi wa Wayahudi katika Dola la Roma.
- Jeshi la China lafika Bahari ya Kaspi likiongozwa na jemadari Ban Chao na kuanzisha ubalozi katika Parthia lakini haiendelei hadi eneo la Roma jinsi ilivyokusudiwa.
Remove ads
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
Remove ads
Waliofariki
- Mnamo 97: Timotheo aliyekuwa mwanafunzi wa Mtume Paulo
- Mnamo 97: Tito aliyekuwa mwanafunzi wa Mtume Paulo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads