97
mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 97 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 1 KK |
Karne ya 1
| Karne ya 2
| ►
◄ |
Miaka ya 60 |
Miaka ya 70 |
Miaka ya 80 |
Miaka ya 90
| Miaka ya 100
| Miaka ya 110
| Miaka ya 120
| ►
◄◄ |
◄ |
93 |
94 |
95 |
96 |
97
| 98
| 99
| 100
| 101
| ►
| ►►
Matukio
- 28 Oktoba - Kaisari Nerva wa Roma amteua Traiano kama mfuasi wake kwa kusudi la kuzuia uasi wa kijeshi.
- Koloni ya Curculum yaanzishwa na Waroma wa Kale huko Numidia - leo ni mji wa Djemila katika Aljeria.
- Halmashauri ya sanhedrini ya Jamnia pamoja na cheo cha Nasi yatambuliwa na Kaisari Nerva kama mwakilishi wa Wayahudi katika Dola la Roma.
- Jeshi la China lafika Bahari ya Kaspi likiongozwa na jemadari Ban Chao na kuanzisha ubalozi katika Parthia lakini haiendelei hadi eneo la Roma jinsi ilivyokusudiwa.
Remove ads
Waliozaliwa
| Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
| - Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
| - Kali Yuga | 5126 – 5127 |
| Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
Remove ads
Waliofariki
- Mnamo 97: Timotheo aliyekuwa mwanafunzi wa Mtume Paulo
- Mnamo 97: Tito aliyekuwa mwanafunzi wa Mtume Paulo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
