Abashade

From Wikipedia, the free encyclopedia

Abashade
Remove ads

Abashade (pia: Psote, Bisada, Besada, Abashadi, Abassadius, Beshada; alifariki 300) ni kati ya maaskofu wa Misri wa karne ya 3 waliofia dini ya Ukristo. Alikuwa askofu wa Ebsay lakini alikatwa kichwa huko Antinoe.

Thumb
Psote

Hayajulikani mengine kuhusu historia yake, ila tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Desemba, lakini pia 21 Desemba[1].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads