Abbas Ali Mwinyi

mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Abbas Ali Hassan Mwinyi ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Fuoni kwa miaka 20152020[1]. Ni msomi, rubani wa ndege na nahodha wa meli.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads