Adelaide Brando

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Adelaide Brando (jina la kitawa kwa Kiitalia: Maria Cristina dell'Immacolata Concezione; Napoli, 1 Mei 1856Casoria, 20 Januari 1906) alikuwa bikira wa Italia aliyeanzisha shirika la Masista Wahanga wa Malipizi wa Yesu Ekaristi kwa ajili ya kuhamasisha ibada kwa sakramenti kuu hiyo.

Bikira huyo alijitolea maisha yake pamoja na shirika lake hilo kwa malezi ya Kikristo ya watoto [1].

Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 2 Julai 2003, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 17 Mei 2015.

Sikukuu yake hufanyika tarehe 20 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads