Adriano Celentano
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Adriano Celentano (alizaliwa Milano, 6 Januari 1938) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwanamuziki, mwigizaji na mkurugenzi wa filamu kutoka nchini Italia.

Kwao anajulikana kama " il Molleggiato ", yaani "mnyumbufu" kutokana na namna yake ya kucheza dansi. [1] [2]
Mnamo 1962, Celentano alianzisha lebo ya rekodi Clan Celentano. Kazi zake zinazojulikana zaidi ni " 24.000 Baci ", " Il Tuo Bacio e' Come un Rock " na " Si e' Spento il Sole ".
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads