Agabi wa Novara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Agabi wa Novara
Remove ads

Agabi wa Novara (alifariki 10 Septemba 440) anakumbukwa kama askofu wa pili wa Novara (Italia Kaskazini).

Ukweli wa haraka Feast ...

Mwanafunzi wa Gaudensi wa Novara, alichaguliwa naye kuwa askofu baada yake, akapewa daraja takatifu hiyo mwaka 417[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads