Aibati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Aibati, O.S.B. (pia: Aibert, Aybert; Espain[1], leo nchini Ubelgiji, 1060 hivi - karibu na Crespin, Hainault, leo nchini Ufaransa, 7 Aprili 1140) alikuwa mkaapweke, halafu mmonaki na padri[2] wa shirika la Mt. Benedikto[3].

Kila siku alikuwa akisali Zaburi zote akiwa amepiga magoti au kujilaza kifudifudi. Pamoja na hayo, alikuwa anawapatia huruma ya Mungu umati wa watu waliomtembelea[4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads