Ailbe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ailbe
Remove ads

Ailbe (pia: Albeus, Alibeus, Elvis, Eilfyw, Eilfw[1]; alifariki 528 hivi) alikuwa askofu katika nchi ya Ireland[2][3] ambaye, akisafiri huku na huku alihubiri Injili na kuvuta wakazi wengi wa kisiwa hicho kwenye Ukristo kwa wema wake [4].

Thumb
msalaba wa Ailbe

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake ni tarehe 12 Septemba[6].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads