Albert Lutuli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Albert Lutuli
Remove ads

Albert Lutuli[1] (takriban 189821 Julai, 1967) alikuwa mwalimu na mwanasiasa kutoka nchi ya Afrika Kusini.

Thumb
Thumb
Picha yake halisi.
Thumb
Sanamu yake katika Nobel Square, Cape Town.

Alikuwa kiongozi wa ANC kuanzia mwaka 1952 hadi kifo chake mwaka 1967.

Mwaka wa 1960 alishinda Tuzo ya Nobel ya Amani kwa ajili ya kutokutumia nguvu katika kupinga apartheid.

Huangaliwa kama mtakatifu katika Kanisa Anglikana la Marekani.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Julai, siku ya kifo chake.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads