Amansi wa Como
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Amansi wa Como (Canzo, Lombardia - Como, Lombardia, 8 Aprili 448 BK) anakumbukwa kama askofu wa 3 wa Como (Italia Kaskazini) alieneza sana Ukristo na kujenga basilika la Mitume[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads